[emoji23] [emoji23] [emoji23] twiga wamefilisika hawakopeshii...Baby njoo tule hela ya mkopo hiiii
Baby njooo unajua nishaambiwa na trump nitakuwa Secretary of state
Sasa hutaki kupanda air force one
Unang'ang'ana na hicho kibabu kinachooendesha baby walker[emoji2]
Heheheheheh haya bhana baby [emoji24] [emoji24] [emoji24][emoji23] [emoji23] [emoji23] twiga wamefilisika hawakopeshii...
trumph hataki weusi...
halafu babu ana vogii...!!
we tulia tu!
Heheheheheh haya bhana baby [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Poa tu sasa kwa hasira ya kupokonywa tonge mdomoni naenda kumla mke Wa kibabu na mwanae Wanae Wa kike
Tit for tat
Sikubali kupokonywa Geni wangu asali Wa moyo wangu
.Nasema sikubali hapokonywi MTU hapa
Nikishindwa naenda kwa bro mshana Jr anisindikize kwamsisi au msata[emoji3]
Tumealikwa party leo usiku jiandae au umebanwa na atoto?Heri ya kuzaliwa kwake.
Asante mkuuSiku njema ya kuzaliwa ndugu boniface
Pamoja sana ndugu yangu.Asante mkuu
nipo best nakuangalia tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapijagi picha!
best...upo..?!!
Siku hizi una maneno anayekufundisha mpe hongera sanaAnibane yeye ni mlango?
Siku hizi una maneno anayekufundisha mpe hongera sana
Hawezi nishinda samaki niliyemkuza mie ngoja nitaunyoosha huo mkono unaoandika hayo maneno[emoji124]Mi mwenyewe kanshinda tabia.
poa kipenzi bday party ya kaka location wapi tuje kukata cake [emoji28][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nambie!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]boniface salim njoo ujibupoa kipenzi bday party ya kaka location wapi tuje kukata cake [emoji28]
ha ha ha ha ingia inbox yako utapewa location shunie mama huyo anajua cake inakatwa wapi asijitoe ufahamu hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23]boniface salim njoo ujibu
maana mpenzi wangu kaninyima kadi live...
kaka mbaya huyu kisa sina keki
ahahahhhh mwambie tutampa hela cake kitu gan atupe location tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]boniface salim njoo ujibu
maana mpenzi wangu kaninyima kadi live...
kaka mbaya huyu kisa sina keki