Happy Birthday Ally Kiba

hbd ally kiba mungu akuzidishie miaka mingi akuepushe na manyan'gau
 
Tusamehe sana mkuu Ally K, huku mtaani tumevurugwa, kuna mtu anaitwa SINGASINGA, anaangamiza taifa huku, kalishika bunge! Kaishika dola! Anakoelekea atawashika na wake zt! nahofia atakuwa amebakisha kutupakata wanaume wa nchi hii! Sawa, hbd ally k
 
Happy birthday King uliyerudi kwenye kiti chako, Ali Kiba. Mungu akupe maisha marefu ili tuendelee kupata burudani ya tungo zako zenye akili.
Ova
 
Happy birthday Allikiba we love u Mungu akupe umri mrefu akuzidishie hekima na busara kwa watu wote.
 
nsamehe aly i will be back naenda kwa liongo mpaka avue kiatu chetu
 
Uwe na maisha marefu yanayoeleweka Ally kiba!!

Wewe ni zawadi kwa watanganyika!!
 
Heheeeeeeeeeeeeeeeee DAIMOND KATWAA TUZOOOOOO
Uwiiiiiiiiiiii tatizo nyotaaaaaaa
 
Hongera zake na atoke kiafrika na kimataifa,kwenye birthday za wasanii husika wa Afrika kwa mwezi husika pale channel O, jinalake bado halijaingia.
 
Hongera zake na atoke kiafrika na kimataifa,kwenye birthday za wasanii husika wa Afrika kwa mwezi husika pale channel O, jinalake bado halijaingia.

Si lazima, iyanya,davido wamekalishwaaaaaaa Dai kapata tuzo ya pili mpoooooooo
 
Lakini si haki kabisa, yani kumshangilia kote kule anaishia kupiga show Masasi na Songea lakini Dai tumemzomea ye kila siku anachukua matuzo tu nje ya nchi

Hhhhhaaaaaa yaaan mumzomeee tenaaa tu etiiii
 
Lakini si haki kabisa, yani kumshangilia kote kule anaishia kupiga show Masasi na Songea lakini Dai tumemzomea ye kila siku anachukua matuzo tu nje ya nchi
Kim nana njoo ucheke hiiiii
 
Last edited by a moderator:
Itabidi tu hahahaha... Dimondi bana kila sehemu yupo, Big Brother yupo yeye, Channel O yeye, MTV yeye, Hapa nyumbani nyimbo zake zinarudiwa mara mbili mbili bar, ni shida tupu

Heheeeee leo umlinganishe na mtu hata video kashindwa anasubiri msaadaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…