ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Mi namuona baby sio babu
Mi namuona baby sio babu
Dogo tulia..... mzee nakunwa kitambi.....Bad girl gone good...........gone bad again!!!!
Thanks kajukuu.... Am humbled!!Hello wapendwa
Ni mara nyingine tena Babuu kapata kuonekana tena mwaka huu Mungu amemvusha na ameuona mwaka mwingine tena nami sina sababu ya kufurahia na kuenjoy pamoja nae babu Asprin na kumtakia afya njema na miaka mingi 100 mingine zaidi
Nawe rafiki mtakie wishes zake za kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Asprin babuuuuuuuu
HAPPY BIRTHDAY BABU Asprin
ciao
Ladyf
hiyo ni zawadi yake atumie apunguze KITAMBI kwani ni majani ya kupunguza kitambi chake alichonacho hahahahahahhahaaaaaaaaaaaaa