Kaizer hawezi kunifanya chochote
Mbona nilikuita mbe?
Miss my douta......................!
ahahah mwenza mume nimemshika vibaya sana siku si nyingi mapinduzi mechoka kua mwenzio nataka awe wangu ahahahahHappy birthday atoto.
Mimi na waume zangu TANMO na MO11, tunakutakia maisha marefu.
Mungu akupiganie, uuone uzee.
Mke mwenza mamaafacebook nakusalimu.
jamani babaangu nimekumiss pia, safari zako zinatufanya tusionane dady....heri ya mwaka mpya....
Thx sn mamy............heri ya mwaka mpya na wewe maangu...!
Mwaka huu nipo na mama yenu sn sisafiri tena.
mkuu upo?