Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ndio nani huyo na anaustaa gani bongo?Happy Birthday Carry View attachment 557516
Ila uache kututusi WCB sawa katoto kazuri[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Mkipewa jibu na mimi mnitag.huyu ni me or ke?
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Mkuu inaonyesha unamjua huyo pichani tutoe tongo tongo tusio mjua anaustaa gani?
team idrriss sultan..Mkuu inaonyesha unamjua huyo pichani tutoe tongo tongo tusio mjua anaustaa gani?
-Ndumilakuwili-
Duh!!!team ya nini kuna kazi wanamfanyia?team idrriss sultan..
sent from motorola bapa and nokia jeneza
eehhh!kumpa umaarufu na kumpambaaDuh!!!team ya nini kuna kazi wanamfanyia?
-Ndumilakuwili-
Duh!!!hawa vijana wetu kwa kucheza na muda mimi ulivyo andika team nikajua kijana kasha fungua kiwanda na hao wanamfanyia kazi kumbe ni ujinga.eehhh!kumpa umaarufu na kumpambaa
haka ni kamsichana jameni...huyu ni me or ke?
sent from motorola bapa and nokia jeneza
She
Kiukweli huu muda wataujutia hamna wanachopata zaidi ya kuwa na followers 500k, inatakiwa ifike wakati waanze kuwatumia hao followers kutangaza biashara angalau wapate japo kitu waachane na hii ya kukaa na kuwaponda wasaniiDuh!!!hawa vijana wetu kwa kucheza na muda mimi ulivyo andika team nikajua kijana kasha fungua kiwanda na hao wanamfanyia kazi kumbe ni ujinga.
-Ndumilakuwili-
we huoni msosi wa mtoto na jamaa yake?
hapo sawahaka ni kamsichana jameni...