Happy birthday Chachu Ombara

Unanipenda mimi au mzigua?unataka niwe na wewe au kipaji?
hueleweki baba la baba
Hahahaaaa.... Jamani nyie mna vituko.. Kwani bado hajakurudishia? Kashapoteza. Hahaaaa...

Asanteni kwa kunichekesha. Mvua ishaanza ngoja niangalie ustaarabu hapa.

Nakupenda sana amu
 
Mie handsome? Mmmh makubwa haya ,JF now ina watu wake
Hahahaaaa.... Kupenda ni Upofu mwenzangu. Ukiwa na hela utaitwa majina yote. Mwenzako ndo kashadata. Uzuri wa mtu upo kwa mtu. Nlikua naangalia hapa picha ua huo uhandsome siioni. Mara aseme anapenda base. Kwa Ufupi amu kakukubali. Tugange yajao hatimaye amu amekuwa shemeji.
 
Wewe Leo utakuwa umekunywa karinya
 
Unanipenda mimi au mzigua?unataka niwe na wewe au kipaji?
hueleweki baba la baba
Hii itakuwa kukimbizana. Mimi nakupenda wewe, wewe wampenda kipaji, kipaji anamtaka mzigua. Sasa bora niblock njia iendayo kwa Mzigua ili umdake. Halafu mimi nikomae na mzigua wewe ukomae na Kipaji wako. Kipaji mwenyewe haamini macho yako.

Sasa wewe ni mshenga rasmi kwa Mzigua huku ukiwa shemeji rasmi kwa Kipaji.

Limadame b litashangaa ubwabwa unaliwa. Si alibania kwako bila kujua akifunga mlango wako wewe unafungulia mlango wa mzigua.
 
Niache Na Kipaji Wangu,wenyewe Tumetoka Mbali Sana Miaka 6 Sasa
 
Kwani we upo wapi? Madame B sasa hivi ni pedeshee pale kwenye ile band.

Kama unataka wimbo wowotevmwambie akawambie. Wanapiga hapo hapo.

Happy birthday Chachu. (kwa sauti ya madame b)
haya nimekuja best maana umeniita sana
halafu huyu chachu nitamtwanga makonde mwambie aje hapa hahaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…