Asante kwa keki babyHappy birthday chaliiView attachment 967756
Happy birthdayKwako rafiki yangu, mdogo wangu chaliifrancisco, ni siku nyingine tena Mwenye enzi Mungu amekujaalia kuongeza mwaka mwingine... Naomba nitumie nafasi hii kukutakia heri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa. Mungu akutunze uendelee kukua katika kimo na maarifa ukimpendeza Mungu na wanadamu.
Happy birthday to you kijana mwenye umri mdogo ila una hekima kama zotee hadi mimi kigagula wakati mwingine najishtukia haha.
Karibu ndugu, jamaa na marafiki tuungane kumtakia huyu kijana maisha marefu yenye Baraka.
I hope ugomvi wako na kaka yangu MO11 umeisha na nitamuona hapa anakuja kusherehekea pamoja nasi
Haha sijui hata kajificha wapiHappy birthday
chaliifrancisco
Nakutakia maisha marefu na yenye baraka mkuu
Tupe location tuje kukumwagia maji.
Kwavile ndo kazaliwa Leo bila shaka atakuwa uvunguni huyuHaha sijui hata kajificha wapi
Hahaha leo ujanja hana atafanya yale tunayotaka sisiKwavile ndo kazaliwa Leo bila shaka atakuwa uvunguni huyu
Hebu kachungulie uvungu wa kitanda au wa kochi utamkuta lazima aogeshwe leo, apige picha akiwa msafi hahaha.
Usisahau kumtuma mwajuma akanunue pampes au bambino,asije kojolea wageni wakimpakata.
Hahaha pole weee wewe mbona kila sehemu huwa unakuta nimekuwahi kasoro kule jikoni tu ndio umenipiga gepu[emoji85][emoji85][emoji85]Heppi besdei chalii yangu Francy
Mungu aendelee kukutunza na kubariki kazi ya mikono yako
Ufanikiwe zaidi ya jana
Unenepe na kunawiri kama wale watoto unaowatunza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nimemaind yani hadi jana hujaniambia kama leo besdei yako mpaka Khantwe kaniwai kufungua sredi!?
Nimenuna [emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nahisi umehamishia kitanda, ofc humu aisee. Sio bure mamdogoHahaha pole weee wewe mbona kila sehemu huwa unakuta nimekuwahi kasoro kule jikoni tu ndio umenipiga gepu[emoji85][emoji85][emoji85]