Unataka mimba?Na mimi naomba
Acha ukuda dogo. Nitakupiga ban nyingine [emoji23]hongera sana chaliifrancisco genius wa JamiiForums sisi wengine ni malofa tu
Yeah... tunapenda kuwagegeda mademu na kuwapa mimba nyingiAshakum si matusi..kwani wewe na Chalii ndio mnachopeana?
Huendi mbinguni... Happy birthday Chalii... Usimfate huyu mkishimundu atakupotosha mengiYeah... tunapenda kuwagegeda mademu na kuwapa mimba nyingi
Sawa babuBado iko palepale. Hebu kunywa maziwa kwanza ukue
Wewe baki Dar tutakuwakilisha sisiNa mimi naomba
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji120][emoji120]Unajua bhana pa kuchukulia
Hahaha babu tulia acha uhuniYeah... tunapenda kuwagegeda mademu na kuwapa mimba nyingi
Shukrani mkuu.. Babu yetu huyo tunaenda nae sawa tu hataki kupitwa na kasi ya vijanaHuendi mbinguni... Happy birthday Chalii... Usimfate huyu mkishimundu atakupotosha mengi
Asante sana dingoo.. Keki hujaiona hapo juu katupia Numbisa tayari? [emoji23][emoji23][emoji23]Heri ya siku ya kuzaliwa chalii wa usikose kutupia keki kule kwenye jukwaa letu
Shukrani sana mkuu Roho Mbaya kwa maneno yako machungu matamu.Dah....Dogo chaliifransco
...mwaka mwingine umepita na hauta kaa uupate tena... na Hili si jambo la kufarahia sana hasa Kama Kuna maeneo ulibugi....
Ushauri wangu kwako ni kutorudia makosa uliyoyafanya huko nyuma...na kuyaboresha zaidi Yale mafanikio uliyoyapa ili yaendelee kusimama kwa uimara zaidi....
Siyo Siri ..pale tunapoongeza mwaka mwingine kwenye maisha yetu maana yake tumepunguza mwaka mwingine wa kuishi duniani....ukweli mchungu.....
Jipange Dogo....
Happy Birthday [emoji41]
Asante sana chiefLong life to you