Lakini ni msikiko flani hivi wa redio free na kiss fm...skiko wa base flani hivi la hatari hakuna redio yenye nao hapa bongo.. sijui kwanini wamezembea redio zao zikafa.Production iliopo CloudsFm ni kubwa sana..infact ni the best in the country.
Happy +1 CloudsFm
RIP Ruge
Redio free na Kiss ile mitambo itakuwa ni ya mjerumani kitambo hicho..ina nguvu balaa,hizi fm radio mpya zina clarity lakini usikivu bado ni hafifu..Lakini ni msikiko flani hivi wa redio free na kiss fm...skiko wa base flani hivi la hatari hakuna redio yenye nao hapa bongo.. sijui kwanini wamezembea redio zao zikafa.
Ukiwa unatafuta station unajua kabisa hii niliyopata ni redio free africa
Nafikiri walikosa watu wazuri wa kuwaajiri kwa ajili ya marketing na creativity . Kitu ambacho clouds wanazingatia Sana kuliko hata kua na presenter wenye masifa bila weledi Kama ile media uchwara hukoLakini ni msikiko flani hivi wa redio free na kiss fm...skiko wa base flani hivi la hatari hakuna redio yenye nao hapa bongo.. sijui kwanini wamezembea redio zao zikafa.
Ukiwa unatafuta station unajua kabisa hii niliyopata ni redio free africa
Kina fred waaNafikiri walikosa watu wazuri wa kuwaajiri kwa ajili ya marketing na creativity . Kitu ambacho clouds wanazingatia Sana kuliko hata kua na presenter wenye masifa bila weledi Kama ile media uchwara huko
Halafu walikua wanapatikana karibu masafa yote fm,am,sw1 n.k ulikua ukifungua hata ukiws uvunguni kitu imooo base la ajabuuRedio free na Kiss ile mitambo itakuwa ni ya mjerumani kitambo hicho..ina nguvu balaa,hizi fm radio mpya zina clarity lakini usikivu bado ni hafifu..
Kukosa Ubunifu na kuondaka kwa watangazaji wao bora kwa mkupuo ndo kumeiua Sahara media
RFA na Kiss Fm zimezalisha watangazaji bora sana, itoshe kusema Sahara Media ni kama chuo flani hivi...Kina fred waa
Baruani muhuza
Samadu maduhu
Tom chilala na wengine walikua motoo
Naona karibu wote wapo azam siku hizii
Kwanini zinaitwa Sahara media[emoji848]RFA na Kiss Fm zimezalisha watangazaji bora sana, itoshe kusema Sahara Media ni kama chuo flani hivi...
Marehem Isack Gamba
Godwin Gondwe
Zakaria Msabaha
Fredrick Bundala
Peter Omary huyu baadae alienda VOA
Jacob Usungu,mzee wa zilipendwa
George Sandu, Kidbway
Paul James
Anko Sam
John Karan alikuwa Kiss Fm
Vicky Butterfly alikuwa Kiss Fm pia
Steve Kafire, kuna kipindi alienda East Afrika Radio, sijui sasa hv yupo wap...list ni ndefu waliopita pale sahara media
Sahara Media Group ndio wamiliki wa vituo kama RFA, Kiss Fm, Star Tv, Continental(king'amuzi) pamoja na gazeti la Msanii Afrika japo na muda mrefu silioni mtaaniKwann zinaitwa Sahara media[emoji848]
Sure atakae bisha ahame Tz[emoji119][emoji120]
Mwanaume unafunguliwaje na wewe.Oooh. Ahsante kwa kunifungua
Hakika..Lakini ni msikiko flani hivi wa redio free na kiss fm...skiko wa base flani hivi la hatari hakuna redio yenye nao hapa bongo.. sijui kwanini wamezembea redio zao zikafa.
Ukiwa unatafuta station unajua kabisa hii niliyopata ni redio free africa
Nafikiri walikosa watu wazuri wa kuwaajiri kwa ajili ya marketing na creativity . Kitu ambacho clouds wanazingatia Sana kuliko hata kua na presenter wenye masifa bila weledi Kama ile media uchwara huko