Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mm ananijua huwa kutenga muda kwa ajili yake nawezaWizo mnaanza kuharibu uzi shenzy zenu
πππ mfyuuu!!Wizo unamlinda sana mmeo, mi ntampasua siunajuaga sina huruma π₯΄π₯΄
Unaona raha nianze kukushambulia?Tukimalizana na huyo tuanze na huyu BWABWA MJANE Kantri. π
Kunguru we πππKashaanza kuulizia form ya chama πππ shauriloo ππ usiseme hukuambiwa ππ
Nipo mrembo wangu. Karibu tukate keki ya cha utundu wetu cocaPouwaaa sana
Miss you more bestie
Antonnia ni rafiki yangu na namkubali ndio maana nimeheshimu hii post yake, Sasa ww naona unataka kuingia kwenye 18. Basi ngojaUnaharibu uzi wa watu π₯΄
Mbona unalia? πππ Wizo kaniambia nikusamehe π€π€π€Unaona raha nianze kukushambulia?
Acheni bhana, mnaitia mikosi bday ya udugu wangu ππππUnaona raha nianze kukushambulia?
Na huo ufupi wako ntakubutua juu na chini mpaka urefuke. π₯΄Antonnia ni rafiki yangu na namkubali ndio maana nimeheshimu hii post yake, Sasa ww naona unataka kuingia kwenye 18. Basi ngoja
Wizo eβ m kitulize bhasi au nitumie fimbo πππMbona unalia? πππ Wizo kaniambia nikusamehe π€π€π€
Kibali umeshanipa, jiandae kupokea mabaki kwenye kikapu ππ€ππππ mfyuuu!!
Kampasue mr maba kwanza nikuone
Fresh kabisaOi, niaje arifu.
ππππ Uniletee nasubiriKibali umeshanipa, jiandae kupokea mabaki kwenye kikapu ππ€π
Fresh kabisa
Mm nilie? Unisamehe?Mbona unalia? πππ Wizo kaniambia nikusamehe π€π€π€
Asante sana my queen.Ngoja nikupe location ukuje tusheherekee pamoja kipenzi you are warmly welcome
Cocastic narudia tena mm nadhani unanijuaNa huo ufupi wako ntakubutua juu na chini mpaka urefuke. π₯΄