Asante sana Paula Paul japo nimechelewa kuona hiiWow. Happy Birthday to you "CONTROLA".
Shukrani sana mkuu, Nmechelewa kuona hiii kbsaLong live mkuu.
Mungu akupe maisha marefu yenye fanaka duniani
Thank you sana mkuu wangu Ndumbula NdemaHepi besidei mkuu
We jamaa Happy Birthday. Leo usilete zile za Usiku Mwema.
Huu ni mwaka mpya kwangu jiandae kubarikiwa zaidiHappy birthday [emoji324][emoji320][emoji323][emoji512][emoji322] uishi miaka mingi bro
Napenda nyuzi zako za biashara zinanihamasisha kinomaa
Jamaniiiiiiii... vile najiskia baada ya kukosa ile keki toka kwa mimiks siwezi elezeaHappy birthday to you. More years of greatness.
Naomba address ya kutuma keki.
Pamoja brother
Jana nilitaka kuandika gazeti sema ni mvivu kuandika Mungu azidi kukubariki CANTROLAHawachi niseme ni eti? ninachoweza kusema ni Asante sana
Mungu akubariki kwa hata hicho kidogo ulichoamua kunipatia
"muda wako" hata wa kuni takia heri katika siku yangu ni zawadi tosha
Asante sana.