jerry joshy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 402
- 504
Gambe ndio nani .......??Happy birthday Gambe and mamaa Mengi ilaa mmepoozaa siku hizi khaa tunaishia kuonaa tu mkipiga picha hahaha mkiwa mmekaa nyumabani no kutoka nowdays.
All in all nawatakia kila la heri maishani mwenu.
Inaonekana kylln hajazoea sana lyf LA kitajiri coz kutwa kutupia picha za bata kwenye wall yake ya instagram [HASHTAG]#JustSayin[/HASHTAG]
yaaaan ila nao mashauzi anapunguza na zile life moto zake chezeaa magu ww panga linakata kote kote no evening tea walaa girls day out kila mtu kwa mumeweInaonekana kylln hajazoea sana lyf LA kitajiri coz kutwa kutupia picha za bata kwenye wall yake ya instagram [HASHTAG]#JustSayin[/HASHTAG]
jacquline wolperGambe ndio nani .......??
Ok,poa.jacquline wolper
yaaaan ila nao mashauzi anapunguza na zile life moto zake chezeaa magu ww panga linakata kote kote no evening tea walaa girls day out kila mtu kwa mumewe
i second you yaan bidada ndo anajitutumuaagaaIla huoni mwenzio Yuko kwenye private jet anaenda kusheherekea birthday yake, kwenye ile familia kina ryan na jayden ndo wanaenjoy ila mengi na kylln aren't really happy coz mapenz yao yapo kimaslahi... jerry joshy