Happy birthday Hazardcfc

Huyu jamaa najua muda huu atakuwa anachakata beer....hata sijui kama anakumbuka ana besidei
Hahahaha mkuu mimi nimeacha pombe siku hizi...nadili na nyagi tu

Halafu kwanini k vant hazileweshi nowdays?
 
Hahahaha mkuu mimi nimeacha pombe siku hizi...nadili na nyagi tu

Halafu kwanini k vant hazileweshi nowdays?
Hahaha,

Kwani bapa sio pombe?

Hizo makitu za K-Vant zina feki zake, kuna jamaa niliona huko chugga kakamatwa na mzigo wa kutosha.

Sasa yule mwehu kwenye zile chupa sijui kajaza mkojo wa tembo yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…