Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Wewe kwani kama sentensi haina neno pesa unaielewa-ga au unataka kunichosha kukuelezea?Vyote.
Sijaribiwi ujue!! Ohooooo!!
Nalendwa nae asijifanye akesahau, aliniahidi heels na akasema atanifundisha kuvitembelea. Ila mwaka wa nne huu naona atakuwa anajiandaa kuniletea meli nzima.
Hahaha... namtania shemeji bhana nawatakia kheri na fanaka za krismas na mwaka mpya.
Best hujambo?Happy Birthday Friend Heaven Sent
Weka basi kapesa kidogo nitaelewa.Wewe kwani kama sentensi haina neno pesa unaielewa-ga au unataka kunichosha kukuelezea?
Ninakuheshimu na kukupenda sana, maisha mema kwakoAhsante mdada wa shoka
Mimi nasubiri tu kwakweli.Hahaah!, na iwe meli nzima tu kwa kweli..
Is my girl's Birthday today?...giiirl!
Ngoja kwanza nikatilie..[emoji124]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ohh haya shem ake!nawe pia !karibuni kwetu tunawakaribisha sana !hapa tupo tunatunga wote hip hop songs na mume Beira Baby Boy
Sijambo best. Uhali gani?Best hujambo?
Haha... haya bhana kila kheri.ohh haya shem ake!nawe pia !karibuni kwetu tunawakaribisha sana !hapa tupo tunatunga wote hip hop songs na mume Beira Baby Boy
ngoja nifikirieWeka basi kapesa kidogo nitaelewa.
Same here brod, I appreciate mnooooNinakuheshimu na kukupenda sana, maisha mema kwako
Thank you friend. UmemissikaHappy Birthday Friend Heaven Sent
Na balimi zenu, wapi the donohh haya shem ake!nawe pia !karibuni kwetu tunawakaribisha sana !hapa tupo tunatunga wote hip hop songs na mume Beira Baby Boy
Thank you dollA very happy birthday to you HS
Hapana natafuta pesaoouh kumbe upo juu ya miti haya nimekusamehe.. umekuwa nyani?
Acha tu auntie network nilipo ni shidaNdio unatafuta network?