Hahahaaaaa wee mzee ni shida sana. Evelyn alikugusia suala la muamala umemruka jumla.Niko tayari kupigwa fine ili case hiyo iishe salama.
Mambo?
Ha haaaa we njoo tunywe mbege tuHahahaaa!! Hebu usinibanie darasa tafadhali, niambie tu vya kuja navyo. Visosa na kigoda ninavyo.
Sina maana hiyooooSie wapole sana.
Cc Heaven Sent
Me hata sijui kwakweli[emoji23][emoji23]Hivi huwa unafichwa au unajificha!!!
Hahahaaaaaa!! Sitaki kuamini, sasa tukilewa darasa litapanda kweli!!Ha haaaa we njoo tunywe mbege tu
Kwenye jibu hapo ndipo nami napasubiriaMi mzima. Haya lini nimekuwa kungwi?
Kwahiyo unataka kusema sisi sio wapole?[emoji85] [emoji85] [emoji85]Sina maana hiyoooo
Achana na msomali sasa hivi kuna mjedaa[emoji23][emoji23]Thanks much mrs msomali
Alafu sijaona zawadi yako na ya msomali. Sijasahau ujue!!!Me hata sijui kwakweli[emoji23][emoji23]
Naona wadai zawadi mama mzaa chema
Umekuja mrs msomaliMe hata sijui kwakweli[emoji23][emoji23]
Naona wadai zawadi mama mzaa chema
Alafu nimekuwa mvivuuuu, huwezi amini sijasoma hata episode moja.Achana na msomali sasa hivi kuna mjedaa[emoji23][emoji23]
Tatizo umeji-POLE-sha sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwahiyo unataka kusema sisi sio wapole?[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kumbe ni madeko tu!!Mbwembwee tuuu...
Anatakuja lakini ...!
[emoji23][emoji23]we mama mbona mkali hivyo kwenye zawadi?Alafu sijaona zawadi yako na ya msomali. Sijasahau ujue!!!
Ohooo[emoji125] [emoji125] kumbe upooUmekuja mrs msomali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatizo umeji-POLE-sha sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]