Viatu vyangu viko wapi?
Viatu vyangu viko wapi?
Vinafanya nini? Hebu Vitoe.Kwenye shoe shelf..
Keki ilishaisha, hizo sahani zimeoshwa zikapangwa tu hapo.Hiyo cake mbona haikatwi jamani, naona plates tayari zipo hapo pembeni sujui anasubiriwa nani sasa, bi mkubwa ndo ushafika hivyoo!
OoohHizo dawa muweke vizuri tuu weww na auntie wako.
Manake zikiweka vibaya kina Naveen watakufwa tunaona hivi hivi
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Sasa hana nia tena?
Keki ilishaisha, hizo sahani zimeoshwa zikapangwa tu hapo.
Hivi T kwanini anakucheleweshea furaha lakini!! Au anataka stress zikuue ndio atafute visingizio!!![emoji85] [emoji85] [emoji85]
Furaha aunt si uliona ule uzi lakini
Ngoja kuna mihogo hapa nikuletee.Khaa!, halafu nitakunywa na nini chai niliyo kuja nayo?
Ngoja kuna mihogo hapa nikuletee.
Aki jirani unajua kujifichaHeaven Sent Happy belated birthday Douta..Naona uzee unanijia vibaya
Sijui mie auntie..Hivi T kwanini anakucheleweshea furaha lakini!! Au anataka stress zikuue ndio atafute visingizio!!!
Haya ndo madhara ya kucheza sana kombolela utotoni jirani..Aki jirani unajua kujificha
Na ajue tu akifa ni hasara yake sio yetu.Teh teh utamuua huyo mwanamke tatizo huwa hataki kukubali kwamba mumewe ni cha wote
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Heaven Sent Happy belated birthday Douta..Naona uzee unanijia vibaya