Pm yangu huwa unaitumia wewe tu mpenzi.Teh teh..Yani kuomba access ya Pm yako ni kama kuomba ticket ya kaburini..
Nimeona nikikuchekea nitazeeka mwenyewe. Upweke wa uzeeni sio mzuri, hivyo ulozi unakuhusu.Yani umeacha kuwa na wivu ujanani unakuwa nao sasa..Unazeeka vibaya
Hahahaha sijawatenga.. si unajua ukifika huku ratiba zilivyo..Kuku choma fisadi, yaani siku hizi unafichwa kweli kweli. Usitutenge hivyo, tena uko hapo machame mie jirani yako kabisa alafu unanitenga!!!
Usijali auntie yuko mikono salama!!!Aunty nakuomba tu ukimuona huko vichochoroni uniite maana nina mpango wa kula nae sahani moja.
Jirani ndio nini tena umefanya!!!Hahahaha sijawatenga.. si unajua ukifika huku ratiba zilivyo..
Auntie unaongea na simu au?Usijali auntie yuko mikono salama!!!
Sasa yule anayeenitaga dume nae??
HahahaAuntie unaongea na simu au?
Eeeh mchunge sana mama.Hahaha
Naongea na simu aunt... Ulisema nimchunge anko kaboom eeh???!
Kaboom nimepewa rungu!!!!Eeeh mchunge sana mama.
Mi wakati umenipiga lock..Pm yangu huwa unaitumia wewe tu mpenzi.
Teh teh..Na vile wanaume tunachelewa kuzeeka sasa..Usijali mama..Hisia zote unatembea nazo weweNimeona nikikuchekea nitazeeka mwenyewe. Upweke wa uzeeni sio mzuri, hivyo ulozi unakuhusu.
Teh teh..Unajibebesha mzigo wa bure..Hilo Rungu hautakaa ulitumieKaboom nimepewa rungu!!!!
Sababu ni aunt wacha nilibebe tuu... Ila nahisi litamrudiaTeh teh..Unajibebesha mzigo wa bure..Hilo Rungu hautakaa ulitumie
Huyo hachungiki..Kila ninayempa kazi ya kumchunga tunashindwana kwenye mshaharaIla nahisi litamrudia
Ponda ponda kabisa mama.Kaboom nimepewa rungu!!!!
Ulinifungia nami nikafunga.Mi wakati umenipiga lock..
HeheheHuyo hachungiki..Kila ninayempa kazi ya kumchunga tunashindwana kwenye mshahara