Nami nimegoma, sizeeki.Teh teh..Na vile wanaume tunachelewa kuzeeka sasa..Usijali mama..Hisia zote unatembea nazo wewe
Mmmh...Ponda ponda kabisa mama.
Eti umesema!!Sababu ni aunt wacha nilibebe tuu... Ila nahisi litamrudia
Nani ulimpa kazi!!?Huyo hachungiki..Kila ninayempa kazi ya kumchunga tunashindwana kwenye mshahara
Hakuna kituEti umesema!!
We haya tu!!Hakuna kitu
HahahaWe haya tu!!
NIMEKUDHARAUUU! PTUUUU
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha
UNA WIVUUUUU NA UNAFIKIIIII UPOOOOOO[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
Brav unazingua sanaaaI miss u so much espy.. Mnataka niwaletee zawadi gani na birthday girl? Mbege au ndizi choma? Hahaha
Zawadi tuuu mtapata wala msijali.....Sasa unafikiri una kingine cha kufanya zaidi ya kucheza na watoto my kaka!! Jeuri yote kwishney.
Bado hatujapoke azawadi yako jamani, mkumbushe na FisadiKuu.
Lete zawadi uncle, asilete ahadi kama za fisadi.Zawadi tuuu mtapata wala msijali.....
Kafanya nini tena fisadi jamani!! Naona wamemlima ban.Brav unazingua sanaaa
Hata mimi nashangaa hapaaaa imekuwajeKafanya nini tena fisadi jamani!! Naona wamemlima ban.
Ahsante sana shem, za kupotea?
Poa poa shem tupo.Ahsante sana shem, za kupotea?
Usijali mama....Haha nisamehe mpenzi
Happy birthday mrembo!
Hivi wewe kwa nini umekuja peke yako huku lakini?Happy birthday mrembo!