Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hahaha hajakupa mwaliko?Hivi wewe kwa nini umekuja peke yako huku lakini?
Thanks T ake, umemissikaHappyy!, Happy Birthday T ake!
[emoji322][emoji323][emoji173][emoji323][emoji322]
Nimeikuta huko nikaona nimuwish dada yetu jamaniHivi wewe kwa nini umekuja peke yako huku lakini?
We mtu upoooHappyy!, Happy Birthday T ake!
[emoji322][emoji323][emoji173][emoji323][emoji322]
Mie nipooo..Nipo, wewe ndo kupotea..
Mzima lakini?
Ahsanteee ankali namalizia keki hapa. Haha ushaanza eti professorKumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwako ijae heri na baraka Professor Heaven Sent
Umepotelea wapi?Umemisika pia T ake!
Hahaha hahahaUishi miaka 100 mrembo
Haha wanyaki utawajua tu kwa shughuli. Ndaga fijo nkamuApapighwe.. Apapighwe Hiveni lilino lusekelo[emoji445][emoji445] aririririiiiiiii (linga alipo... Mwee!!)
Hongera sana Anko,Mungu aendelee kukufidia mapengo yote yaliyo sababishwa na mapito ya dunia.
Kesho pitia keki yako ya "mhogo" ukanywee chai.
Dooh hiyo sentence ya mwisho imeniwazisha khaa (kweli kufa sio mchezo). Ahsante sana mrs Pampula originaleHappy birthday mdada...Mwenyezi Mungu akakujalie heri na fanaka kwa maisha yote yalosalia[emoji4][emoji4][emoji4]
Happy birthday mdada...Mwenyezi Mungu akakujalie heri na fanaka kwa maisha yote yalosalia[emoji4][emoji4][emoji4]
Dooh hiyo sentence ya mwisho imeniwazisha khaa (kweli kufa sio mchezo). Ahsante sana mrs Pampula originale
๐ค๐ค๐ค sijaelewaAhsante sana mrs mshana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwingine fekelo[emoji23][emoji23][emoji23]... nikikumbuka kufa na mm nakuaga mdogo sana ....dah..