Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Thanks byutfulWoww,.Happy birthday to you beautiful one.
Ahsante baba mbitiHapy bazidei shemu langu la ukwel
Afadhali, ule muda wa kuagiza zawadi umefika. Ngoja nikae mkao wa kula.na kweli nimepotea ! nadekezwa huku aisee ! nakula maraha miji ya wenyewe
Amen babu jiraniHiki kimombo si cha kikoloni. Huyu jamaa atakuwa kasoma International School kuanzia nursery kipindi cha vyama vingi.
Happy birthday Heaven Sent
Grow wise, live long.
Hiyo heine nini sijui ndio nini?Amen shunie. Keki na Heineken atakuletea bonny
Thanks mkuu
Kwakweli, maana sio kwa kupotea kule.Birthday imemuibua
Pipi kijitiHiyo heine nini sijui ndio nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmh shikamoo miamala
Afadhali, ule muda wa kuagiza zawadi umefika. Ngoja nikae mkao wa kula.
Oooh!! Na mimi nataka.Pipi kijiti
Hivi timu roho mbaya uliingia lini? Heaven Sent na Evelyn Salt wamekufundisha tabia mbaya?hhahaha sema namba yako ya kiatu uletewe !ukisema unavaa let say 39 mie naleta 37!teh teh !kamati ya roho mbaya
Hivi timu roho mbaya uliingia lini? Heaven Sent na Evelyn Salt wamekufundisha tabia mbaya?
Hahahaaaaa!! Tafadhali sana usiingie huku mama.hahahaha kanifundisha Evelyn Salt aisee !maana wewe na yeye dah handsup
tehteh !then nahamia kwenye uchama !nitataka kujua upo chama gan !lolHahahaaaaa!! Tafadhali sana usiingie huku mama.
Basi kama navaa namba 36 nasema 37 ili ukipunguza ije namba yangu halisi.
Mie sina chama maalumu, huwa naangalia maslahi yalipo nami nipo huko huko.tehteh !then nahamia kwenye uchama !nitataka kujua upo chama gan !lol
Mie sina chama maalumu, huwa naangalia maslahi yalipo nami nipo huko huko.
Yaani ukiweka pesa hata siwazi mara mbili nahama fasta, mtabaki mnasema mie nakula tu. Kujitia uzalendo wakati alikufa nao Karume sitaki mimi.ahahahhaha we mwepesi kununulika !haya mama umepata dhawadi
haya mama umepata dhawadi
naijua !44Hayo ndio maneno sasa. Namba si unaijua eeh?