Mi sijaona picha nimeona mdoli umevalishwa surualiUmewawekea na picha kabisa [emoji28] sasa ole wao wasitoe zawadi....
Tushadownload na picha..leo itakuwa ni 3X
Si kama wewe tu ulivyojaaliwa?Dada umejaaliwa hongera....uishi miaka mingi
πππ wajumbe wa chama siku hizi tumepandisha standards
Usinichekeshe mdogo wanguSi kama wewe tu ulivyojaaliwa?
[emoji23][emoji23][emoji23]...nyie ndo wale kanga inazunguka two rounds kiunoni sio??..PoleniUsinichekeshe mdogo wangu
Mbona wewe pia umejaliwa kwa namna ambayo alitaka uwe..Dada umejaaliwa hongera....uishi miaka mingi
[emoji16][emoji16][emoji16] unaweza kuwa na nyama ila hazijakaa mahali pake kama hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]...nyie ndo wale kanga inazunguka two rounds kiunoni sio??..Poleni
Mchana mwema
AmenMbona wewe pia umejaliwa kwa namna ambayo alitaka uwe..
Hapa ndo napiga cha pili