Happy birthday Jay Z. Mc mkali kuwahi kutokea tangu dunia iwepo

matumbo

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
7,224
Reaction score
3,951
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mwana hiphop tajiri duniani. Mc mwenye package iliyokamilika ya hiphop.

Huyu ni mmoja kati ya wasanii wa hiphop waliofanya niipende sana hiphop na muziki wa rap kwa ujumla. Nakubali michano yake, style zake, mashahiri, lifestyle yake, hustle zake na swaga zake zisizo zeeka.

Nyimbo nazopenda kutoka kwa huyu mchizi ni hizi

Anything
Hardknocklife
Dead prez
99 Problems
Empire State of Mind
Encore
Young forever
Girls girls girls
Glory
Take over (kawadiss sana nas na prodigy)
Wishing on the star

Kifupi album zote na nyimbo karibu nyingi nazikubali za huyu jamaa.

Who you know fresher than Hov... Riddle me that?

🎶I'm not a businessman I'm a business, MAN!

Happy birthday King Jigga
 
Ila jamaa aliwahi kupata kashfa ya kujinunulia album zake mwenyewe ili aonekane anafanya vizuri katika mauzo ili apate awards.
 
haya jigga happy birthday, ila ukisema ni mc bingwa kupata kutokea duniani watu hiphop watakubishia, wao wanawatajaga sana wakina Tupac na Nas, wakati wazungu wanamtajaga Eminem
 
Empire state of mind, run this town,young forever, glory ni kali ila sijawahi kuzipenda kama nilivyoupenda wimbo my president is black kali kuanzia beat, lyrics mpaka flow
 
usemavo ndo msanii mkali kuwahi tokea umetumia vigezo gani???? ushabiki maandazi huo.
 
wewe unaijua hiphop kweli?sema mc mkali kwako na sio kuwahi kutokea
hebu nikupe clue...between KRS ONE and RAKIM bado haijawa settled who is the best of them all hiphop headz..
 
Ila jamaa aliwahi kupata kashfa ya kujinunulia album zake mwenyewe ili aonekane anafanya vizuri katika mauzo ili apate awards.

Jiga ni brand kama vile Pepsi au Coca-Cola haitaji kujinunulia album. Aliwakataa ulimi Madson square lile balaaa alilofanya.
 
wewe unaijua hiphop kweli?sema mc mkali kwako na sio kuwahi kutokea
hebu nikupe clue...between KRS ONE and RAKIM bado haijawa settled who is the best of them all hiphop headz..

Mainstream media zinawaaminisha fans vitu ambavyo havipo ndio maana leo Jigga anaonekana top kuliko KRS One au Rakim.....but all in all inategemea fan mwenyewe anataka nini kwenye music....je music kwako ni source of inspiration and education and swagger? That is the big difference man.
 
Best album kwangu!!

Carry on reading to view the tracklist?


1. No Church In The Wild feat. Frank Ocean (Prod. By Kanye West, Mike Dean & Ken Lewis)


2. Lift Off feat. Beyonc? (Prod. By Kanye West, Mike Dean, Jeff Bhasker, Q-Tip & Don Jazzy)


3. Niggas In Paris (Produced by Hit-Boy)


4. Otis feat. Otis Redding (Produced by Kanye West)


5. Gotta Have It (Produced by The Neptunes)


6. New Day (Produced by The RZA)


7. That?s My Bitch (Produced by Q-Tip & Kanye West)


8. Who Gon Stop Me (Produced by Sham ?Sak Pase? Joseph & Kanye West)


9. Murder To Excellence (Produced by Swizz Beatz & S1)


10. Welcome To The Jungle (Produced by Swizz Beatz)


11. Made In America feat. Frank Ocean (Produced by Sham ?Sak Pase? Joseph)


12. Why I Love You feat. Mr Hudson (Produced by Mike Dean & Kanye West)
Deluxe Edition/Bonus tracks:


13. Illest Motherfucker Alive (Produced by Southside & Kanye West)


14. H*A*M (Produced by Lex Luger & Kanye West)


15. Primetime (Produced by No I.D.)


16. The Joy feat. Curtis Mayfield (Produced by Pete Rock & Kanye West)
 
Eti mc mkali. Kwa taarifa yako tu jamaa kapatashavu b?ada ya kuwa rais def jam. Ila kwa Dre, xzibit, hata busta inabidi jamaa nasubiri.
 
Empire state of mind, run this town,young forever, glory ni kali ila sijawahi kuzipenda kama nilivyoupenda wimbo my president is black kali kuanzia beat, lyrics mpaka flow

My president is black ile ya young Jeezy feat nas, kama ndo hio ile kitu ni hatari sana though Obama simkubali wala nini
 
Love drunk inatisha yuko na behonc
 
Label owners hate me, I'm raising the status quo up/
I'm overcharging n!ggas, for what they did to the Cold crush/

Pay us like you owe us, for all the years that you hoe'd us/
We can talk but money talks, so talk more bucks/


Jay-Z sio Emcee bora kuwahi kutokea, but he's undisputedly the hottest mudhafreaker that ever graced the game. Hands down.
 
wewe unaijua hiphop kweli?sema mc mkali kwako na sio kuwahi kutokea
hebu nikupe clue...between KRS ONE and RAKIM bado haijawa settled who is the best of them all hiphop headz..




Kipi walichonacho Rakim na KRS One ambacho Jigga hana? We could start from there. And you better know what you're saying.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…