Thank you so much my dear....Happy Birthday Kapuku[emoji1]
Asante sana sana kipenzi, maneno yako mazuri yamenipa raha sanaaa,Happy birthday shostie,lovely Jimena
Nakumbuka tokea mara ya kwanza kujuana humu,ulisema unanipenda....
Guess what dear, Nifah loves you more
Nakutakia kila la kheri katika siku yako hii ya kuzaliwa.
Mungu akujaalie maisha marefu yenye furaha na mafanikio.
Mshukuru Mungu kwa kila jambo,hata kile kidogo alichokujaalia.
Kumbuka,ni wengi hawajaweza kufikisha umri uliokuwa nao (haijalishi hata kama uko ktk early twenties)
All the best
Karibu dearest.Asante sana sana kipenzi, maneno yako mazuri yamenipa raha sanaaa,
[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173]
tuntka utuonyeshe tabasam mkuu, hapo umejifichaMkuu picha yangu ni hiyo ya kwenye avatar
Basi tusubiri mwakani [emoji85] [emoji85] [emoji85]tuntka utuonyeshe tabasam mkuu, hapo umejificha
Thank you dearHappy birthday [emoji272] [emoji272] [emoji272]