Ahhh mkuu tupo tupo sie makapukunimekuona mkuu
Mmmmmh mbona sipiti njia hiyo??Nyumbani
Makapuku katika ubora wetu[emoji108] [emoji108]Ahhh mkuu tupo tupo sie makapuku
Acha tujidai walau nasi tupoMakapuku katika ubora wetu[emoji108] [emoji108]
Tena tupo imara kabisaAcha tujidai walau nasi tupo
Tena kwa jeuri zote!Tena tupo imara kabisa
Hakika [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]Tena kwa jeuri zote!
Tunajidai kwa raha zetu huku tukisahau ukapuku wetuHakika [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]
Asante sana Jimena ,you are specialView attachment 335780
Karibuni sana keki
Cc falcon mombasa
UncleBen Nifah. aretasludovick. Bennie 369 tomjelly
Zamaulid. peterchoka. ibra87 nawewe usiseme sijakutaja matokeo yake ugomvi wetu ukazidi kupamba moto Benny ,,,,sasa Econometrician out vepe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Presidaa Bitoz naomba unisaidie kutag makapuku wote waje tule keki japo [emoji485] [emoji485] [emoji485] ni kujitegemea
Cc einstein newton
Th Name
sizzya007
EMMYGUY
na wengine woooooote
pamoja sanaahsante kiongozi wangu
00:000 hrs ila si unajua vile Makapuku tulivyo wabishi?? Itasherekewa wikiendi yote hii[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nyie birthday mwisho SAA ngap.....
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
makapuku wenye uwezo wa kumiliki kila jukwaa hapa jf.. Tunaojua kutofautisha kati ya Dhahabu na vipande vya Chupa.. Watoe macho, wafanyeje si ndio tushaianza safari ya kimapambano na kimkakati.. No shobo no ufagio...Ahhh mkuu tupo tupo sie makapuku
Swadaktaaaaaaaaaaamakapuku wenye uwezo wa kumiliki kila jukwaa hapa jf.. Tunaojua kutofautisha kati ya Dhahabu na vipande vya Chupa.. Watoe macho, wafanyeje si ndio tushaianza safari ya kimapambano na kimkakati.. No shobo no ufagio...
Na huu ni mwanzo tuKweli imeamuliwa... naona wakongwe wote mnapotezea comment zao... wanajitahidi kujipenyeza lakini wanapotezewa mbaya...