Alisha niacha, nipo hapa kwaajili yako babe...[emoji39][emoji39][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kama ni mfupi Baki nae tu ila kama ni mrefu ni bora unitambulishe mapema nisije nikachafua hali ya hewa[emoji28][emoji28]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yesu wangu huyo simtaki hata kwa bahati mbaya..mwandiko wake unaonyesha kukuzibua konzi ni dakika sifuri..mpeleke sehemu nyingine tu😆😆asante
Sometimes i dont remember this date, but that morning deep kiss of yours made up my mind honey[emoji7]
Ai weee!hapana aiseh 😅😅Akikupenda yule anakuwa mpoleee
Watawezana mana wote lugha yao moja....ufupi 😂😂Wachukuane wote mashort[emoji134]
Umeanza wivu mama Dickson......
Dahhhh.....Namuongelea babe wangu mpya,wewe mbona huna jipya sa hivi
Thats why am here darling to remind you [emoji8][emoji8]Sometimes i dont remember this date, but that morning deep kiss of yours made up my mind honey[emoji7]
Thank you for everything chautundu wangu, you are my love of my life til death do us apart[emoji8]
I LOVE YOU[emoji307]
Unforgetable
Hili ni jambo jepesi kinyama
Naweza kukutajia ya kwangu hapa ukawa tayari umeijua
Hee,si mpaka,haya bwana.Hili ni jambo jepesi kinyama
Naweza kukutajia ya kwangu hapa ukawa tayari umeijua
Mrembo nimekutana na mdada ana id kama yako kavaa kitenge acha nikusifir nilijua wewe [emoji2296]
Ukanisifiaje?[emoji23][emoji23]
Mie na vitenge ni ardhi na mbingu