Hivi mke wa ujana wangu? Huko kwa wazazi ulikoenda kuwasalimu? Mbona hurudi?
Afu simu yako mbona haipatikani?
Mekumiss sana ujue....
Tangu unambie nije chemba mpaka sasa..... nimechoma mahindi mpaka nimekoma.Kipenzi usikute unatumia ile zantel wameshaifunga,nilikua vichakani nikawa siitumii.
Njoo chemba tafadhaliii