Happy Birthday Lowassa

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
434
Katika siku yako hii ya kuzaliwa, watanzania wote tunakutakia maisha marefu na mema katika harakati za kuikomboa nchi hii, umezaliwa siku moja na Mama Therresa (Founder of Missionaries Charity), hivyo hivyo kama alivyokuwa yeye nawe pia endeleza moyo wako wa huruma wa kutumikia watu masikini na kwa hakika ulete ukombozi wa mara ya pili katika nchi hii.

Kwa hakika watanzania hawana hata chembe ya shaka dhidi ya maamuzi yako na utendaji wako katika jambo lolote lile, ni wewe katika nyakati hizi ukisema unaamisha mlima wowote ule unaweza bila shaka, ni wewe katika nyakati hizi ukisema mbuga ya serengeti ihamie dar es salaam unaweza kutenda bila woga wowote.

Happy birthday Lowassa

Happy birthday pia kamanda Hussein Bashe katika siku yako hii ya leo ya kuzaliwa.
 
Mmmm,mbona umechelewa kum wish ilikua 23rd Aug....
 
kumbe Lowassa amezaliwa tarehe hizi?aaaah ndo mana CCM hawamuwezi he is missionary man and born a leader
 
61 lkn akitembea anatetemeka huyo sijui anaumwa nn baba wa watu namhurumia.
 

Ni Watanzania gani waliokuvma uongee kwa niaba yetu pimbi wewe?

Hizi njaa mnazoendekeza kufanya kazi hamtaki unadhani kuna maisha ya shortcut kujipendekeza kwa wanasiasa matapeli kama Lowasa?
 
HBD Mr. President! Sikujua tarehe ya kuzaliwa kwako. All the best,nakutakia afya njema. Salute
 
 
 
Umetimiza Miaka Kadhaa Hongera Kwa Kuzaliwa
 
clouds mmeanza mambo yenu baada ya EL kuwasusa.mnataka akija kuwa raisi mjipendekeze kwake kwa kumuimbia wimbo na kumuandalia cake.EL sio JK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…