I mean acha habari za id buana leo ni kuimba basdei kula nakunywa....Naijua vizuri unayoiongelea
Sante shemlake namie karibu [emoji512][emoji486] [emoji485] [emoji484] [emoji482]Happy Birthday shemela
Teh nakuja naye, tupo njianiI mean acha habari za id buana leo ni kuimba basdei kula nakunywa....
espy mate akadimbue pa kudimbua maji aje animwagie nimejificha dom A sijui atayapata wapi kotekote yamekata si bwenini si magorofani si kuleeeee magereza.. Labda apande forest Hills
Tehteh [emoji2]
Asante sanaSante shemlake namie karibu [emoji512][emoji486] [emoji485] [emoji484] [emoji482]
karibuni sana mwaya nawasubiria kwa hamuu [emoji512] [emoji486] [emoji485] [emoji484] [emoji483]Teh nakuja naye, tupo njiani
Muache ajitoe ufahamu, nitamdai pesa ohoooo!!Haha mate wako kila siku haelewi ID yako.
Happy birthday mama smart 11
Pamoja sanaAsante sana
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]I mean acha habari za id buana leo ni kuimba basdei kula nakunywa....
espy mate akadimbue pa kudimbua maji aje animwagie nimejificha dom A sijui atayapata wapi kotekote yamekata si bwenini si magorofani si kuleeeee magereza.. Labda apande forest Hills
Tehteh [emoji2]
Hahahaah[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ya mdimbuo yanakuhusu, yakuwasheeee hadi uchanganyikiwe.
Usinikumbushe enzi za taabu ya maji jamani daaah!!
Mluguru alikuwa anamichambo yule!!!Hahahaah
Mi kwa kudimbua tu nilikua sijambo asee marehemu Hamisi akukute unazunguka na kindoo chako magorofani huko sijui utaisoma namba hio michambo assembo pale dom A lol those days sitaki hata kukumbuka
Jamani jamani jamani Heaven Sent umenishtaki kwa mate jamani vibaya hivoooMuache ajitoe ufahamu, nitamdai pesa ohoooo!!
Hahaha huyo binti hajapelekwaga malezi kweli make Hamisi na jopo lake la malezi walikua sioo ukimkuta na Matron alikua anafinyaje kwenye mapaja khaah!Mluguru alikuwa anamichambo yule!!!
Basi kuna binti mmoja kapindaaa siku moja alimtolea uvivu alimchambaaaaaa!!!
Thanks my dear [emoji120]Happy Birthday Sweetie! [emoji8]
Alipelekwa na shule alifukuzwa, kwanza kuna incidence ilitokea kabla ya hilo ndio likapelekea hadi wakachambana.Hahaha huyo binti hajapelekwaga malezi kweli make Hamisi na jopo lake la malezi walikua sioo ukimkuta na Matron alikua anafinyaje kwenye mapaja khaah!
Kuna siku nilitoroka jumapili sijasain bana asinikamate niko doks moja huko..Alipelekwa na shule alifukuzwa, kwanza kuna incidence ilitokea kabla ya hilo ndio likapelekea hadi wakachambana.