Happy Birthday Mama Tee (Zarieth The Bosslady)

Akishakaa kando ww unanufaika nn, au unaenda kuziba nafasi yake? wivu usifanye ukawa mchawi
Wala sina wivu kbs, umekuruka kujibu. Ungefuatilia tangu mwanzo tulivyoanza na niliekuwa nimem quote ndio ingejua nilichokuwa namaanisha.
 
Kwa jinsi anavyo pendwa Zari pamoja na kuwa na watoto wote hao sitegemei wanawake hasa wakitanzania kutomchukia.....Maana ni nadra sana kwa mwanamke kama huyo kuwa na watoto wote hao na bado akapata mwanaume wa kumpenda kiasi hicho....wanawake wa namna hiyo wengi wao hubaki single....
Yani Zari huyo hata akiachwa leo haitapita siku moja atapata mwanaume anaye mpenda....ni wanaume wengi sana wanatamani kuwa na mwanamke kama Zari.....
Kwa hiyo wanao mchukia Zari wanazo sababu sio wa kupuuzwa...!
 
Hakika, huyu dada yupo vzr sana ila sijui kwnn watu wanajifanya kumtukana vile na wakati hawamfikii hata robo.


mie nilichokuja gundua ni vile hamisa ni mtz sijui !ah ht sijui ! mie naona makelele tu yaan ht sijui !watu wanaraka kuhalalisha uzinz ati zari hajafunga ndoa !khaaa hajafunga ndoa nahuku kisheria ni anajulikana ni mke kabisa !jaman tuseme kweli tu hamisa kachemka vby sana sana !
 
Tena hilo lisichana ni li tahira kbs, uswahili mwingiiii halafu hiyo timu yake ndio wanaompoteza. Wanadhani wanamkomoa zari kumbe hajui km yy ndio anajiharibia. Aolewe basi tuone km watadumu na mondi.
 
Shost hiyo sentensi hapo juu hapo ndo hasa mimi nilipo, halafu haya mambo bhana lazima kuwe na pande mbili za kumkubali mtu au kutomkubali, kila mtu yuko na mazuri na mabaya pia
 
Tena hilo lisichana ni li tahira kbs, uswahili mwingiiii halafu hiyo timu yake ndio wanaompoteza. Wanadhani wanamkomoa zari kumbe hajui km yy ndio anajiharibia. Aolewe basi tuone km watadumu na mondi.


yaan mie ningekuwa na adabujaman !khaaa kisa tu anataka ajulikane kazaa na diamond jaman ! mie unanilisha unanitunza unamsomesha mwanangu nipe mashart yooooooooooooooooote na vigezo nitazingatia ! na huna shule lakin hujielew tu ! kwan lazma kujitangaza namna hyo jaman !aiseee ndo maana tunadhaurika sana!umezaa na mume wa mtu lakin bado unataka kujitutumua !mxiew
 
Shost hiyo sentensi hapo juu hapo ndo hasa mimi nilipo, halafu haya mambo bhana lazima kuwe na pande mbili za kumkubali mtu au kutomkubali, kila mtu yuko na mazuri na mabaya pia


kwahyo upo team hamisa kwasababu ni mtanzania sio eh ? bas sawa shost !
 
Baby ,mbn sijakufunza haya !!!.. Embu acha tulia basi. One to one haitowapa mwisho mwema !!.[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Unanijua nilivyo mkimya mi kuwa opposite na mtoa mada basi nimekuwa mwanga sasa nimemuonyesha kuwa Tictac naiweza na sitaki ban ndo maana namjibu km kumkwepa vile lkn matusi yao nayaweza tu vizuri
 
Unanijua nilivyo mkimya mi kuwa opposite na mtoa mada basi nimekuwa mwanga sasa nimemuonyesha kuwa Tictac naiweza na sitaki ban ndo maana namjibu km kumkwepa vile lkn matusi yao nayaweza tu vizuri
Heeeee Basi yakwishe [emoji119] [emoji119] [emoji119] .

Assume kama , Hukuuona huu Uzi ,,, alafu , Ujue ule mzigo uliusahau juu ya kabati ???? Unakuja Lin kuufata ? Au nilete ?
 
Unanijua nilivyo mkimya mi kuwa opposite na mtoa mada basi nimekuwa mwanga sasa nimemuonyesha kuwa Tictac naiweza na sitaki ban ndo maana namjibu km kumkwepa vile lkn matusi yao nayaweza tu vizuri


hahahaha
 
Ngoja nifungashe naona nimewachefua kwny kauzi kenu hahahahahaaaa, ila utumiage bidhaa za nyumbani nawe sio kila siku kuagiza vya nje,


ahahaha kapeace umewah niona nacomment mie celebriety forums mamy !sijag huku sema nimeona neno hepi besdei to u nikaja kumuwish ! mie ndo natoka hvyo shogale !kuwa na aman kumbe mnatukananaga kbs teh teh !sawa mwaya vya ndsn tuvithamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…