Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hehehehe baby utamu wa mwanamke unaonekana tu hata ukimtizama...Ujumbe wako uko pm miss you sana, comment yako pale umesema zari mtamu aisee ushawahi kumla!!!! Au ndo ladha ya ndizi ni muonekano wa ganda lake!![emoji12] [emoji12] [emoji12] humu nimeaga beb , utanikuta kule unaponikutaga
Humu sio kabisa km una roho nyepesi inatakiwa roho ngumu km sieahahaha kapeace umewah niona nacomment mie celebriety forums mamy !sijag huku sema nimeona neno hepi besdei to u nikaja kumuwish ! mie ndo natoka hvyo shogale !kuwa na aman kumbe mnatukananaga kbs teh teh !sawa mwaya vya ndsn tuvithamini
Sawa bhana utamu wa chai ni sukari sio rangi sweetbeibHehehehe baby utamu wa mwanamke unaonekana tu hata ukimtizama...
Ila hata zari hakufikii wewe baby ..yaaan weee unanimaliza kabisaaaa sipumuiii[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
MAMA TEE KATIKA UBORA WAKEVIDEODiamond Platinumz: Uzuri na Urembo pengine ningetembea nikakuta baadhi wanao pia... Lakini Akili, Hekma, pamoja na Roho yako ya kwenye Shida na Raha kwangu ndio kitu pekee kinachonifanya nikupende na kukuthamini zaidi kadri siku zinavyozidi kwenda...... wanaposema kwenye kila Mafanikio ya Mwanaume kuna Mwanamke imara nyuma, hawamaanishi eti anaepika na kuosha vyombo sana ama kufua nguo kila siku... Hapana! ni mwanamke Mwenyekuwa bega kwa bega na Mpenzie kwenye Shida na Raha... Happy birthday General
Numbisa muache anatetea tumbo lake maana huwa ameajiriwa WCB
hata mie nimeshangaa jomonii..unafki haujawahi kumwacha mtu salama....ila Domo ana roho ngumu mno na wanawake zake wana roho zaidi ya paka! niwiki haijaisha tokea amtambulishe Young Lion..leo tena hii haahahhaWe started at * Mybaby, my sweet my wife my baby mama *
Now we are here
*Major General*[emoji23][emoji23]
We've come a Long way[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..jamani
Subiri upewe povu kwmb unamwonea wivu bossladyhata mie nimeshangaa jomonii..unafki haujawahi kumwacha mtu salama....ila Domo ana roho ngumu mno na wanawake zake wana roho zaidi ya paka! niwiki haijaisha tokea amtambulishe Young Lion..leo tena hii haahahha
woiii wakajambee hukoo...walitaka tutoe maoni yanayofanana chaaa....Subiri upewe povu kwmb unamwonea wivu bosslady
Ndo watakacho mamii,woiii wakajambee hukoo...walitaka tutoe maoni yanayofanana chaaa....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakati wao wanatokwa mapovu ya cheche mitandaoni,zari yupo kwenye dunia yakeyake ya mafanikio na familia njema
Zari ndani ya madale
Naniii ndio ametambaa kwenda huko SA.