sawa sakayaSawa
Wakubali tuu wayamalize mke wa south na mke wa bongoHii style inaitwa ikikuuma meza wembe
Uunadhani Dimond ataacha kumla moboto
Wakubali tuu wayamalize mke wa south na mke wa bongo
Hahahahahah kama ilivo sukari yako sweetiee ...nothing to saySawa bhana utamu wa chai ni sukari sio rangi sweetbeib
mmmh numbisa dia unatumia nguvu nyingi kumtukana hamisa ila diamond aliwaumbua.No kuna mke south,malaya bongo
Umenena vyema dadangu mwanamke unamuita mwanamke mwenzio malaya mmmh kila mbuzi anakula usawa wa kamba yake pale kwa diamond wamuacha amicha na Maisha yakemmmh numbisa dia unatumia nguvu nyingi kumtukana hamisa ila diamond aliwaumbua.
kama hamisa Malaya si angetumia kondomu?? bora unyamaze tena kakili kwenye media??? tulia Dada ukute hata mda huu yupo kwa hamisa
huwezi kumuita MTU Malaya as if umamshikia paja umeanza kujishushia heshima
kama ni swala la umalaya basi zari ni funga kazi ogopa mwanamke una watoto tens wakubwa unamuacha Mme ndani , anaenda kulala na mdogo wake, imagine watoto wa kiume wakubwa vile??????ni malaya wa kiwango cha huu ajitafakali. na wewe tumia akili kuwaza.
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Hahahahahah kama ilivo sukari yako sweetiee ...nothing to say
Amna bhna unakosea hivyo kumukashifu uyo kisa zarina hasanMy shost sergio naona unajivutia kahawara taratiibu kwa gia ya sympathy hahahahahaa
diamond amekiri kuwa kashaacha uhusiano wa mapenzi na mobeto sasa hizi ni wazazi tyuuuuuu, last interviewUmenena vyema dadangu mwanamke unamuita mwanamke mwenzio malaya mmmh kila mbuzi anakula usawa wa kamba yake pale kwa diamond wamuacha amicha na Maisha yake