Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simpendi na mipaja yake minene kama kitu gani sijui. warumi acha kumpamba huyu wellu bwana.Swaga atakua nazo yeye? Wema,Wolper na Lulu wasemeje?
Simpendi na mipaja yake minene kama kitu gani sijui. warumi acha kumpamba huyu wellu bwana.Swaga atakua nazo yeye? Wema,Wolper na Lulu wasemeje?
Simpendi na mipaja yake minene kama kitu gani sijui. warumi acha kumpamba huyu wellu bwana.Swaga atakua nazo yeye? Wema,Wolper na Lulu wasemeje?
Hebu rusha full licha bana watu wafaidike
Hata nikimpenda siwezi kuacha kusema ukweli.Ila uzuri wa kitu upo machoni mwa apendaye.Kwako wewe ni Yes kwangu mimi ni No!Tunajua wanawake hampendani bhana...huyo mtoto Kuna vitu anavyo ambao uliowataja hawana...
Kumbe tuko sawa eeh? Huo ndio ukweli.Bora umesema maana
Muigizaji bongo movie
Hahahaaa, mbona kulikua na uzi wake huku una picha zake nyingi tu.Mie hata simjui.Hebu tuwekeeni picha nzima kinusu hatuoni hayo asemayo nifah kama ni kweli
Sa si ndo nilikuwa natia ndimu kidogo ili wajuvi wa mambo mjee, anajionaga mzuri mwenyewe akiigiza lazima ajibinue mdomo kama kamwagiwa shahawa
Happy born day beautiful onyinye usiyekuwa na mpinzani bongo movie kwa swaga matata.
Haaa kweli mmbea hana rafiki.
Mhhhh binam we juzi si ndo ulikuwa unamfagilia leo hii mdomo kama kamwagiwa ....... mmmmm.