Happy birthday Matilda aka Wellu Sengo

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Happy born day beautiful onyinye usiyekuwa na mpinzani bongo movie kwa swaga matata.
 

Attachments

  • 1427275231098.jpg
    53.5 KB · Views: 1,460
Simpendi na mipaja yake minene kama kitu gani sijui. warumi acha kumpamba huyu wellu bwana.Swaga atakua nazo yeye? Wema,Wolper na Lulu wasemeje?
 
Last edited by a moderator:
Simpendi na mipaja yake minene kama kitu gani sijui. warumi acha kumpamba huyu wellu bwana.Swaga atakua nazo yeye? Wema,Wolper na Lulu wasemeje?

Sa si ndo nilikuwa natia ndimu kidogo ili wajuvi wa mambo mjee, anajionaga mzuri mwenyewe akiigiza lazima ajibinue mdomo kama kamwagiwa shahawa
 
Last edited by a moderator:
warumi

Hahahaaa, mimi hiyo mipaja na miguu kama matende hapana kwakweli.Bora hata zamani kidogo ila sasa hivi kazidi.
Kingine hajui kuvaa,na mawigi yake ya kishamba sana.
 
Last edited by a moderator:
Hebu rusha full licha bana watu wafaidike

Uone nini mbea huyu? AU unataka umpigie punyeto dada wa watu? We chini unataka kuona nini? Mmh binamu na wewe kiboko nilijua kwenye umbea tu hadi kwenye kukoboana mmh umetisha, ntakutumia namba ya wolper
 
Tunajua wanawake hampendani bhana...huyo mtoto Kuna vitu anavyo ambao uliowataja hawana...
Hata nikimpenda siwezi kuacha kusema ukweli.Ila uzuri wa kitu upo machoni mwa apendaye.Kwako wewe ni Yes kwangu mimi ni No!
Labda hicho kisura tu ila angeweza kujipunguza angekua msupu zaidi.
 
Mie hata simjui.Hebu tuwekeeni picha nzima kinusu hatuoni hayo asemayo nifah kama ni kweli
 
Mie hata simjui.Hebu tuwekeeni picha nzima kinusu hatuoni hayo asemayo nifah kama ni kweli
Hahahaaa, mbona kulikua na uzi wake huku una picha zake nyingi tu.
Ningekuwa nazo ningekuwekea ujionee.
 
Sa si ndo nilikuwa natia ndimu kidogo ili wajuvi wa mambo mjee, anajionaga mzuri mwenyewe akiigiza lazima ajibinue mdomo kama kamwagiwa shahawa

Haaa kweli mmbea hana rafiki.
Mhhhh binam we juzi si ndo ulikuwa unamfagilia leo hii mdomo kama kamwagiwa shahawa mmmmm.
 
Haaa kweli mmbea hana rafiki.
Mhhhh binam we juzi si ndo ulikuwa unamfagilia leo hii mdomo kama kamwagiwa ....... mmmmm.

Kama ulivyosema binamu mbea hanaga rafiki, tunapiga umbea ukitoka kidogo na wewe tunaanza kukusema, hahahahaaha umbea raha ujuee??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…