ana mwanya fulani amazing........
kuna watu full kuponda waambie watokee hadharani itakuwa mkimbizano
zishukuriwe keyboard maana zinaficha mengi
Tunajua wanawake hampendani bhana...huyo mtoto Kuna vitu anavyo ambao uliowataja hawana...
Acha basi kunisema mie hata kama ni mbaya mezeaa tu
hahaaaaaaaaaaaaa we ni nyoko
Kumbe tuko sawa eeh? Huo ndio ukweli.
HUyo na mama ubaya nani mzuri? Halafu kuna kipindi walikuwa mashoga sijui ikawaje
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Bora zamani ila now big noooooo then mshamba