Nitamleta huyo mtoto aliyezaliwa leo keshokutwa Jumatano ya Majivu ili umuone
Japo babu mechelewa, Heriye kukutakia,
Mbaya bado haijawa, Shairi kukuimbia,
Ni sikuyo maridhawa, Mola amekujalia,
Hongera Maty hongera, Sikuyo ya kuzaliwa.
Umekuja duniani, Uzuri kuniletea,
Hakika u namba wani, furaha kunigaia,
Ubarikiwe nyumbani, Na kote wapopitia,
Hongera Maty hongera, Sikuyo ya kuzaliwa
Uishi daima dumu, Maisha yenye amani,
Maisha yaso magumu, Raha tele maishani,
Wema wako na udumu, furaha tele moyoni.
Babu nakukaribisha, Tunywe mvinyo pamoja.
Na Babu Asprin (Big Braza ODM)
Kaunta ya Juu King Star kwa Mwanandio
Boko Daslam.
CopyRight Reserved
Hongera malenga wetu
Na Babu Asprin (Big Braza ODM)
Kaunta ya Juu King Star kwa Mwanandio
Boko Daslam.
CopyRight Reserved
Tunasherekea B'day kiwanja hiki au?
Ahsante mtumishi wa Mungu....Aisee nakutafuta unipe upako ujue.
Where are you @?
Njoo kanisani upate upako mpendwa "Babu Loliondo",
Si unajua kwaresma inajongea, njoo uungame
Maty kapokee ulanzi wako na sumri ya saa tisa!!
BTW kale katukuu katakuja leo kwenye B'day?[/QUOTE]
Hommie taratibu niliishawekeza mbona unataka kuharibu shares zangu hapo
Babu nenda VX jipyaAhaa....kumbe kanisalo liko Loliondo?.....Naja mhashamu. Nije na nini?
Babu hivi Mwanandio nitampataAhsante mtumishi wa Mungu....Aisee nakutafuta unipe upako ujue.
Where are you @?
Ahaa....kumbe kanisalo liko Loliondo?.....Naja mhashamu. Nije na nini?
hahaha naona umehuziwa hisa Feki, mi nilibakisha 5% tu pale kwa ajili ya logistic tu..!Hommie taratibu niliishawekeza mbona unataka kuharibu shares zangu hapo
Mkuu usilete mikataba ya Dowanz hapa banaa hisa zangu mimi ziko listed tokea mtu yuko tumbonihahaha naona umehuziwa hisa Feki, mi nilibakisha 5% tu pale kwa ajili ya logistic tu..!
hahaha naona umehuziwa hisa Feki, mi nilibakisha 5% tu pale kwa ajili ya logistic tu..!
Mkuu usilete mikataba ya Dowanz hapa banaa hisa zangu mimi ziko listed tokea mtu yuko tumboni