Happy Birthday Maxence Melo LIVE LONGER!

Status
Not open for further replies.
Hongera saana Max kwa Bwn Mungu kukufikisha hapo ulipo. Tena nashukuru maana nilikuwa mbali na mtandao kwa muda hivi, ahsante kwa kurudisha kitufe cha Thanks. Ubarikiwe saana na familia yako ibarikiwe!!!!!!!!!!
 
:music: Happy birthday to U
Happy Birthday Dear Max
Happy Birthday x 2, happy birthday to uuuu!!:clap2:
 
Happy Birthday Max,
We thank God to let you live up to this day because
he has a reasons, and you'll keep living until the mission is complete!.
 
Happy birthday bro,god blesse you abudantly.i dedicate to you the song"forever young" by jay zee a.k.a jigger.
 

hongera mkuu Maxence
 
Wote mliomtakia happy birthday Maxence Melo ita-sound great kama tuta-support JF
Happy Birthday Max
 
Happy birthday mkuu....Mungu akuongezee uhai, upate kitukuu chenye umri kama wako ndo afikirie kukuhamishia mbinguni.

Naamini kwa wish hii sitatembezewa kichapo cha BAN asilani.
hapo kwenye red,Rushwaaaaaaaaaaaa!!!!!
 

Happy birthday Kiongozi wangu,
Mungu azidi kukumwagia baraka katika maisha yako
Uzee nao ndo unagonga hivyo!!!!!!!!!
 
Hongera sana Great Thinker,yours was a great idea kuanzisha hii kitu jf aisee,we huwezi jua kiasi gani inatuliwaza,kutuelimisha,kutupa habari,kutuunganisha(wengine wameopoa na kuopolewa humu) na off course wakati mwingine kutuhuzunisha mmoja wetu yanapomfika,Big up sana Kiongozi.
 
imeandikwa " miaka ya kuishi kwetu ni miaka 70 au pengine 80" Naam Bwana na akupe miaka ya kula na kushiba ili umtumikie yeye!!!

hAppY biRthDay!!!!!!!
 
Happy b'day mkuu.
Mungu akujalie aman, furaha na upendo siku zote za maisha yako.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…