Waaohh I cant wait kukuona jamani.. yaani tutapiga bonge la picha ya ukumbusho
Mimi tena? pita twendeeeeeee namalizia malizia makeup hapa!
Asante Dear! Merry Xmass and Happy new year too!Happy birthday dear, and in anticipation Merry Christmas and happy new year too. Kila la kheri.
View attachment 43480
Asante Mpenzi! Da Asha hii cake itakuwepo eneo la tukio..
hahaa.. Mie ntapiga kitu cha cream na nakshi za brown kwa mbaali.. kiatu cheusi kirefu kiasi, maana nisijeshindwa kuserebuka Lol..hahaha..... Kumbe nawe wapenda picha kama mimi eeeh? lol... Tutapiga dear.... Usijali! Nidokeze wavaa kitu gani....
Lol hunishindi mimi, naweza maliza keki yote ya birthday peke yangu msipoangalia hahaaa.. inabidi mi na wewe tukae meza moja Lol..Alafu nikuambie kitu? Napend cake ile mbaya! (no wonder sipungui...lol)
hahaa.. Mie ntapiga kitu cha cream na nakshi za brown kwa mbaali.. kiatu cheusi kirefu kiasi, maana nisijeshindwa kuserebuka Lol..
Nimenunua ka skirt kapya, shemeji yako alipo kaona alijua ni mkanda. ndio nakavaa hako!Roulette unavaa nguo gani dear.... (Naomba tu isiwe kama ile ulivaa siku ya outing ya dancing.... Ulifanya nikuonee wivu mimacho yooote yalikua kwako - bahati nzuri Sweetie hakuwepo...lol)
Lol hunishindi mimi, naweza maliza keki yote ya birthday peke yangu msipoangalia hahaaa.. inabidi mi na wewe tukae meza moja Lol..
Nimenunua ka skirt kapya, shemeji yako alipo kaona alijua ni mkanda. ndio nakavaa hako!
Wee andaa camera tu! yaani unaruhusiwa kubandika hata picha hapa JF, ila tu iwe inaanzia kiwiliwili.. kichwa una edit kidogoI can not imagine the way utapendeza.... Nina hamu ya kuona the killing look! lol (maana hapa umbea ndo mahala pake) hahahaha.... Na habari zoote nitazilete JF Udaku!😛hoto:
hahaaaa Lol.. mwenzio nimependelewa.. au sijui niseme mwili wangu hauna shukurani mwee..Mayassa basi mimi nawewe hatufai kukaa pamoja aise... Au mwenzangu una bahati wala saana cake lakini end result yooote ni waste? lol... Haipai mwilini?
hahahaaad lol.. hii kali!..Nimenunua ka skirt kapya, shemeji yako alipo kaona alijua ni mkanda. ndio nakavaa hako!
Navaa ka blouse kanaitwa Air Conditioner... kanaangazaaaaa...Khaaa!!! Leo namuambia mupenzi card ni single sio double..... Khaaaa!! Mbona watuonea wenzio hivo? I hope blouse itaziba boobs zoote....lol
hahaa.. Mie ntapiga kitu cha cream na nakshi za brown kwa mbaali.. kiatu cheusi kirefu kiasi, maana nisijeshindwa kuserebuka Lol..
Utapendeza sana mpenzi... I can't wait!I can not imagine the way utapendeza.... Nina hamu ya kuona the killing look! lol (maana hapa umbea ndo mahala pake) hahahaha.... Na habari zoote nitazilete JF Udaku!😛hoto:
hahaaaa Lol.. mwenzio nimependelewa.. au sijui niseme mwili wangu hauna shukurani mwee..
Navaa ka blouse kanaitwa Air Conditioner... kanaangazaaaaa...
Utapendeza sana mpenzi... I can't wait!
Yaani we acha, hiki kivazi kinalipa hatari!Utapendeza sana mpenzi... I can't wait!
We nenda ukabadilishe bwana! Yaani mume wangu kuniona tu kanirudisha chumbani nikabadili nguo. Sasa navaa a stretching black dress with leggins and high heels... NI kafupi ila sio sana. malizia basi saluni alafu unishtue nikupitie.Tokana na hizo post hapo juu.... Naaga hapa for the following reason.
- Namuonea wivu Mayasa mwili wake hauna shukrani.
- Nimeahirisha.... naenda chimba nguo nyingine Roulette kazoea nitesa. Navaa hot pants, Wedges, na a sexy buggy blouse courtesy ya Gucci. Naenda azima kwa King'asti.
- Hii style ya nywele haiendani na hot pants... Naenda saloon kuweka kitu Crazy!
- Nataka nihakikishe nikifika ukumbini "all eyes on me" of course baada ya the same eyes kutoka kwa Mayasa! lol