Happy birthday mjomba....

Apunguze ulaji na aongeze mazoezi. Happy birthday.
 
utakalia majungu mwenzio keshaga pata exposure, usikute hata bando umeomba kwa shemeji ako. Hela aliyo nayo anauwezo wa kuwalisheni BAvicha na Bawacha kambi nzima mwaka mzima.
Makamanda hawaombi vocha,waomba vocha wapo lumumba
 
shosti kumbe upo umepotelea wapi best

Nipo best, habari za siku
Humu siku naingia na kuchungulia tu then unasepa manake mmh, unaweza kufuatiliwa na nissan nyeupe wakati mtu umejisemea tu, labda jukwaa hili na kule MMU ndio unaweza kuchangia bila uoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…