Happy Birthday, Mr (Almost President)Lt General Muhozi

SYLLOGIST!

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2007
Posts
8,189
Reaction score
7,853
Luteni Jenerali Muhozi asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa nderemo.

Kianzio cha taarifa hii kinapatikana hapa

Happy Birthday, Mr(almost) President Muhozi

Wakati wa sherehe yake Lt. Jenerali alielezea kuwa vijana waliotelekezwa wawezeshwe na yuko tayari kulifanyia kazi suala hilo.

Bofya chini kwa maelezo zaidi.

Muhozi anaelezea siku yake ya kuzaliwa (miaka 48)ni nini na ina maana gani

Vyanzo: Uganda Monitor
na theAfricanreport

Je kwa jinsi siasa za kikanda zinavyoenda/endeshwa, kuna uwezekano nako kuwe na Mh. R Kikwete, Ivan Cyomoro Kagame, na Lt Jenerali Muhozi kuwa Maraisi huko tuendako-miaka15 hivi baadae?
 
Huyu jamaa.mama yake ndio huyu first lady wa sasa iv au mzee M7 alikuwa na kampango wa kando
 
Kila la kheri kwenye siku yake ya kuzaliwa...
 
Hatutaki huo upuuzi hapa Tanzania. Acha watu wenye uwezo wapate nafasi sio dynasties
 
Muhoozi kazaliwa Sinza Dar, dada yake Natasha kazaliwa KCMC Moshi kipindi Museveni anafundisha Chuo Cha Ushirika.
Na Katiba ya Uganda inataka rais see lazima ndani ya Uganda.So kijana hua anadanganya amezaliwa Uganda.

Ila sishangai maana hata M7 alivyobanwa kuulizwa alizaliwa wapi, alisema amezaliwa Uganda(Mbarara) Ila hosp alikozaliwa iliungua Moto kwa hio cheti chake Cha kuzaliwa kiliungulia hosp.
 
Huyu jamaa akiingia madarakani ataleta vurugu EAC.
 
Huyu jamaa akiingia madarakani ataleta vurugu EAC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…