Happy birthday Mr President

Joined
Jul 19, 2016
Posts
9
Reaction score
5
[HASHTAG]#watu[/HASHTAG] wa Aina yako wanazaliwa kwa nadra sana.

Umekuwa Rais wa mioyo ya wanyonge.umeirudushia Tanzania heshima na utukufu wake!

Umekuwa msemaji wa wale wasiokua na sauti, na sasa dunia nzima inalitaja jina lako.

Ufalme, uungu watu na utukufu waliojivika watanzania jeuri kwa sababu ya madaraka umeutwaa na kumrudishia MUNGU.

Heshima kwako JPM,sifa kwa taifa zima-Tanzania, na utukufu kwa MUNGU aliyekuleta duniani Tarehe hii.

Happy birthday Mr president,may you live long son of Africa.

Lengai ole sabaya
 
Mbona huu Uzi upoo Lakini Watu hawachangiii jamani tumuwishi Hapibadhideiii ivyo ivyooo.Sasa tufanyeje..Kama kutukuta yametukuta.Kununa Hakusaidii.Hapiiii Bathideiiiiii Baba Jesikaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…