Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Jana tarehe 1 Mwezi wa 6 ilikuwa siku yako ya kuzaliwa mme wangu.
Ila kwa sababu ya upendo nilionao kwa JOLIE JOLIE NA HAZARD ilibidi niwaachie nafasi ya kusherekea wapendanao hao.
Natamani niandike hata page 10 lakini maneno yote nimeashakwambia mme wangu.
Nawapa nafasi wanajamvi watiririke wanavyoweza.
UJUMBE WANGU KWAKO :
Pendo la dhati lina sifa
zifuatazo,kuvumilana, kusubiriana, kujaliana, kushauriana, na
La Mwisho Ni Mimi Na Wewe kupendana milele.
Malaika wa Mshana jr.
Demiss wa Mshana jr.
Chamdeko wa Mshana jr.
Ila kwa sababu ya upendo nilionao kwa JOLIE JOLIE NA HAZARD ilibidi niwaachie nafasi ya kusherekea wapendanao hao.
Natamani niandike hata page 10 lakini maneno yote nimeashakwambia mme wangu.
Nawapa nafasi wanajamvi watiririke wanavyoweza.
UJUMBE WANGU KWAKO :
Pendo la dhati lina sifa
zifuatazo,kuvumilana, kusubiriana, kujaliana, kushauriana, na
La Mwisho Ni Mimi Na Wewe kupendana milele.
Malaika wa Mshana jr.
Demiss wa Mshana jr.
Chamdeko wa Mshana jr.