ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Habarini wadau na wapendwa wote
wakati sio ukuta, Majira na nyakati Mungu ndiye hupanga nasi leo tunamshukuru Mungu kwa kumbukumbu ya kuzaliwa babuuu Mtambuzi ninamtakia kheri na fanaka na pia Mungu ampe afya njema na miaka mingi 100 mbeleni
Basi wadau msisite kumtakia kheri babu yetu huuyu kikongwe a.k.a kabanja au kibabu hahahahaaa
heri ya fanaka kwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake
HAPPY BIRTHDAY Mtambuzi
Wasalaamu
Ladyf
wakati sio ukuta, Majira na nyakati Mungu ndiye hupanga nasi leo tunamshukuru Mungu kwa kumbukumbu ya kuzaliwa babuuu Mtambuzi ninamtakia kheri na fanaka na pia Mungu ampe afya njema na miaka mingi 100 mbeleni
Basi wadau msisite kumtakia kheri babu yetu huuyu kikongwe a.k.a kabanja au kibabu hahahahaaa
heri ya fanaka kwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake
HAPPY BIRTHDAY Mtambuzi
Wasalaamu
Ladyf