OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Aise Kama utani vile nakuwa faza kinoma. Siku Kama ya leo miaka 28 iliyopita mwamba, jemedari, shujaa, mchizi, msela, Askari, kamanda nilizaliwa hahaha aise Nina mbwe mbwe kinyama 😂😂
Shabiki nguli wa Chelsea na Mtiba Shugwa 🤣🤣🤣.
Napenda Sana utani na masikhara dah ..Ila ground nipo tofauti kinoma.
Afu uwezi amini kiutani utani eti Nina watoto watatu dah🤣🤣
Wawili mapacha na mmoja Yuko pekee yake. Sijaoa bado nakula maisha na ma Kid zangu😂😂😂
Aiseee leo nina vibe kinyama HAPPY BIRTHDAY TO MEEEEEEEEE
Shabiki nguli wa Chelsea na Mtiba Shugwa 🤣🤣🤣.
Napenda Sana utani na masikhara dah ..Ila ground nipo tofauti kinoma.
Afu uwezi amini kiutani utani eti Nina watoto watatu dah🤣🤣
Wawili mapacha na mmoja Yuko pekee yake. Sijaoa bado nakula maisha na ma Kid zangu😂😂😂
Aiseee leo nina vibe kinyama HAPPY BIRTHDAY TO MEEEEEEEEE