Happy Birthday Mwana FA

Happy Birthday Mwana FA

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Leo ni bday ya EMCEE WITH AN MCS, HAMIS CORLEONE MWINJUMA (MWANA FA).

Ujaaliwe busara katika kupambana na maisha yako.

Hope umewasamehe vinega kwani nao wameshaenda kumpigia magoti Ruge kama PNC kwa Ust. Juma.

KEEPING THE GOOD MUSIC ALIVE
 
Mmmhhhhhhh tunamsubiri akapige magotiiii!!!
 
Hiyo ni MCS au MSC? Mwana Fa ana Master of Science?
 
asee...hbd to him
ila umei adress kishankupe kwel kwel
 
  • Thanks
Reactions: hb9
miongoni mwa wasanii wa bongo mwenye roho mbaya,ndo maana akitabasamu anakuwa kama bushman
 
Happy B.DAY Binamu dah nakumbuka kipindi kile Upanga home kwao na GK wakiwa wote members wote wa ECT: GK,AY,FA,PAULINE ZONGO,BUFF G,O TEN,SNARE,NA WALE CHIPUKIZI. Tatizo binamu unatumika sana na rugay.
 
Yeah 007 James Bond huyu jamaa way back used to be real Ninja ila since aanze Rugelization ananipa kazi kusikiliza ngoma zake,HBD Fa all in all ww ni biashara acha ufate maslahi ukikatika ulimi hakuna atakaekupa kitu.
 
Kwenye muziki jamaa anaweza,ila kwenye swala la Uruge anaweza zaidi.

Mkuu,wasanii karibia wote wanatumika kwa rugay.Mapacha wamemchukua hadi Baba yao na kwenda kumuomba radhi Rugay
 
Happy birthday Michael scoffield wa bongo! Samahani lkn kama hii a.k.a kama huitaki tena maana mwenyewe nasikia ni tata
 
Leo ni bday ya EMCEE WITH AN MCS, HAMIS CORLEONE MWINJUMA (MWANA FA).

Ujaaliwe busara katika kupambana na maisha yako.

Hope umewasamehe vinega kwani nao wameshaenda kumpigia magoti Ruge kama PNC kwa Ust. Juma.

KEEPING THE GOOD MUSIC ALIVE


Ha ha ha ha nikakumbuka "Aliyelala na Bibi Harusi wakati si bwana Harusi siku moja kabla ya Harusi, Bado mnanishauri kuoa"
 
Back
Top Bottom