Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
UjijiiiiKeki tunakata wapi?
Ni hakika meku.Pamoja sana kwa niaba yake mkuu niliomba nikapewa
Mbona babe hujaliweka?[emoji1787]Asante shemeji, kaka, rafiki. 2022 inakaribia
Thank you deaeHappy birthday
Thank you. Cha mtu huliwa na mtu chuma huliwa na kutuHbd mla vya watu
Ujiji dearKeki tunakata wapi?
Ndio ndioUjijiiii
Sasa nisile vya watu Nile nini jamani?Hahaha mkuu umenifurahisha sana Mzigua90 njoo ujibu huku
[emoji849][emoji125]
Asante mpenziNimeelewa hapa mwisho tuu.
Happy birthday Mzigua90 . Mungu azidi kukulinda.
HahahahaaHahaha sio kweli..wewe najua unatema yai lile la waingereza kabisaa
Jua limezamaMiaka 30
Asante dearHongera kwa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Mzigua90.
Mungu akuweke tuendelee kuufurahia uchumi wa kati huku ukinifundisha kuelewa hiki "kizigua kilichoandikwa hapa"
Kama sio wimbo wa "happy birthday" ningetoka kapa wallah.
Nini hiyoPamoja sana kwa niaba yake mkuu niliomba nikapewa
Asante mwenzaHappy birthday mwenza
[emoji1787]Ni hakika meku.
Nakupenda pia. Ufanye tumalize tu lile zoeziI love this lady
Yaaaani utatisha sana. Na ninavyokitamani Leo. Umeniagizia cha wapi nianze kifurahi mieMimi nimeshamwandalia zawadi ya kitimoto tayari!
Nimesahau bbyMbona babe hujaliweka?[emoji1787]