Happy Birthday Nifah, Cheupe wangu..

Shemeji yangu cheupe,
Happy birthday,
Live long,
Mungu akuongezee miaka mingine 1000,

Ila sikiaaaa , natena usikieeeee, kaka umempataaaaa, na kumpata ni barakaaaaa,
Vinonooooo mkangieeeeee, na kitambi kichomozeeeeeer,
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Nifah nasubiri upost kitu hapa ni like.. Ila Dah naona kama mnatoa watu kwenye direction.. Hahaha the bold hapangiwi mtu wa kupenda Kwa sababu hata saa ya kukutongoza alikuja mwenyewe.. Nawatakia maisha marefu
 
Word.. Hahahahah

Shukrani kwa kumpatia ushauri mujarabu! Nahitaji kitambi kama cha Le Akili Kubwazzzz.. Na mimi nihamie gym
 
Nifah nasubiri upost kitu hapa ni like.. Ila Dah naona kama mnatoa watu kwenye direction.. Hahaha the bold hapangiwi mtu wa kupenda Kwa sababu hata saa ya kukutongoza alikuja mwenyewe.. Nawatakia maisha marefu
Wala hakuna kutoa watu kwenye direction.!! Wao waache watumbuane.. Maisha mengine pia yanaendelea
 
hakuna muoaji hapa jamaa blah blah tu huyu nifah nae akiona huu ujumbe chupi mkononi ! ni kugegedwa kwa mkopo mwazo mwisho cc@miss chaga
Huna lolote wivu umekujaa tu, ndo maana jina lako hadi leo halijapata badilishwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"HAPPY BIRTHDAY to the most beautiful creature on the whole planet earth.. HAPPY BIRTHDAY Nifah..!"

Tupia picha hata ya miguu tu.
 
Japo sikufahamu bt hainizuiii kushare nanyi siku hii muhimu wa mwana jf mwenzetu Niffa,,Ubarikiwe popote pale ulipo na baraka hzi zikufanye usamehe yte wakiokukwaza hapa jamvin nao naiman wamekusamehe kwa namna moja au nyingine kama jliwakwaza kwa mitazamo tofauti... Kwa sababu Bold ni mwanaume bas niseme tu Happy Born Day Shemelaaa...

Usisahau tu kwamba umezaliwa ukiwa na umri wa miezi tisa usiache kuujumlishia hapo..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Happy B day shemela Nifah...ila si kwa sifa hizo Mkuu The Bold...utafanya watu tuwe Mafia
 
Mi nikajua nayo ni hadithi kumbe birthday wish ya kweli...dah! sasa nimeelewa kwnn mtoto nifah anakuwa mgumu na ombi langu la namba huko PM,sio kwa mapenzi haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…