Binti pekee wa baba swalehe ametimiza miaka 16 lakini baba swalehe ndio hivyo tena hata hajali yeye yuko busy tu na upambe tu kwa wanaume wenye pesa na kuomba omba kupiga picha na mademu clubs na kupost utumbo instagram, cheki hapo mtoto anadai zawadi ya gari na mama hapo anawaambia ndugu zake wafanye maarifa ya zawadi yani inamaanisha yule baba swalehe wameshamsahau wanamuachia tu aadhirike hadi afe na pressyre kwenye club na vijitoto kama mwanawe haha,baba swalehe tunaomba ujitambue mwaka huu unatimiza 59yrs yani umempita hata magufuli,membe yani hapo nakaribiana na Lowassa lakini bado unajiona umri wako kama dogo Asley jamani khaa pole shauri yako.