William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- hahahahaha worup man? Loomgtime maanHahahaaa that's what's up ma nigga.
You killin' it.
Mmh Amalinze ni wewe kweli?MSAGA SUMU tunataka remix ya hii kitu ,Case Mtanga Niaje ? Baba Swalehe Katisha sana ,Ni mtoto wa Super Mogul Bilionea? W. J. Malecela? Kama ndiye katisha.
Kuna wanawake hawajafundwa sielewi kwanini mama wa mtoto kuleta matatizo ya familia kwenye social media,maana hata Insta kafanya hivyo...Nitakuwa mtu wa mwisho kushabikia upumbavu wa wenza wawili ambao ni watu wazima halafu wanaleta upumbavu wao mitandaoni ili ushadadiwe na watoto wadogo wengine sawa na watoto wao wa kuwazaa. Kwanini mtoto aingizwe kwenye mambo kama haya?! Mzazi mwenye busara hata kama atakuwa na ugomvi na namna gani na mwenza mwenzie katu hatathubutu kumweka mtoto katikati ya ugomvi huo! Mzazi mwenye busara will never make his/her daughter decide who's better btn dad and mom!
Busara ya Le Mutuz nitaipa credit kwa kuipotezea hii thread.
baba makorokocho,full busy le dnt town born hapa hapa u know,sasa wewe mtu kikombe cha chai mkononi,mouse huku,headphone kule miwani ya jua ofisini.kuna concetration kweli kwenye kazi hapo,ama kazi ni hiyo instagram.halafu zile kopo za cola ulienda kuomba waandike jina lako hujanywa tu.
My brother you know!! Ha ha haaaaaa!!Hahahahaha
Jiheshimu wewe Le Mutuz anaweza kuwa mkwe wako mazafantaz hahahaahivi lemutz siyo yule nilimuona jana Magomeni hata kuvuka barabara anatembea kama kobe!
Mama mkwe yupo vizuriMama mzaa chema na anayejitambua na mwenye uchungu na watoto wakeView attachment 319501
Nimemis post za msaga sumu jamani aje tuKweli nilitamani angemtumia PM MSAGA SUMU angei draft vizuri ....daaa Baba Swalehe kazi anayo...
Anaweza kuja hapa na kusema hamtambui huyo mtoto...Teh Teh...
Mkuu kuna haja ya kutukana namna hiyo?maisha ya le mutuz yana kuhusu nini?wewe ungekuwa una concetrait usinge kuwa hapa jf unapoteza muda kutukana watu usiowajua..if u think u r better than le mutuz and others then good for u!chuki hazijengi!baba makorokocho,full busy le dnt town born hapa hapa u know,sasa wewe mtu kikombe cha chai mkononi,mouse huku,headphone kule miwani ya jua ofisini.kuna concetration kweli kwenye kazi hapo,ama kazi ni hiyo instagram.halafu zile kopo za cola ulienda kuomba waandike jina lako hujanywa tu.
Haya bwana le kubwa jingaz,binti huyo kakua bana tegemea kajukuu soon.
halafu umefanana na idd amini ujue,ndio maana sishangai viroja vyako.
Huyu baba swalehe alimkimbia mke huyo mtoto alikuwa na miezi sita tu bava swalehe huwa anamuona kwenye picha tu na mitandaoni.Tena angalia hili babu rojorojo nyemtumbo ana wish watoto wa wanaume wenzie happy birthday na wa kwake hata sms ameshindwa duh kweli huyu baba swalehe View attachment 319557
Babu nyemtumbo baba swalehe wacha kupagawa bwana,hapa uliambiwa issue ya birthday ya mtoto na yeye kutaka zawadi ya gari lakini baba hata zawadi ya kumu wish tu na hata kadi sio lazima ya kumpa iPhone 6 kama ulivyomzawadia nasra on her birthday, huyo mama noela wala hakutaji maskini na ameshamove on na maisha yake ni wewe tu utoto wako yani kweli kuachwa kunauma,mimi sio neema acha propaganda zako kwani sio kila mtu anayekujua wrwe kiundani ni mama watoto wako hebu pls grow up baba swalehe.
kuna tusi hapo,wabongo mkiambiwa ukweli mnaita matusiMkuu kuna haja ya kutukana namna hiyo?maisha ya le mutuz yana kuhusu nini?wewe ungekuwa una concetrait usinge kuwa hapa jf unapoteza muda kutukana watu usiowajua..if u think u r better than le mutuz and others then good for u!chuki hazijengi!