Happy Birthday Queen Kan

Hahahahaaa Amavubi bana, mbona ni kazi rahisi kumvuta awe Yanga. Subiri utaona, ndio my wifi nini? Sasa hata utambulisho hutoi.
ni rahisi ngamia (oooops Ng;ombe huku kwetu) kupenya kwenye tundu lla sindano kuliko queen kan kwenda Yanga...sio wifi BantuLady wifi ni wewe kwake kama mambo yataenda sawa................
 
ni rahisi ngamia (oooops Ng;ombe huku kwetu) kupenya kwenye tundu lla sindano kuliko queen kan kwenda Yanga...sio wifi BantuLady wifi ni wewe kwake kama mambo yataenda sawa................

Queen Kan mamii karibu Yanga, timu bora Afrika Mashariki na kati.
Wanawake tuna lugha moja Amavubi utashangaa amenielewa tu.
Hahahaaaa hiyo nyingine no comment!!!
 
Last edited by a moderator:
Queen Kan mamii karibu Yanga, timu bora Afrika Mashariki na kati.
Wanawake tuna lugha moja Amavubi utashangaa amenielewa tu.
Hahahaaaa hiyo nyingine no comment!!!
ipo siku kila mtu ataishabikia simba akiwemo Bantulady na dunia yote itanyamaza kimya
 
Happy new older age to me once again[emoji512][emoji512][emoji512]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…