Happy birthday Reginald Mengi

Status
Not open for further replies.
we acha tu, sio fair kabisa. Kamatika endelea mwaya na hb mgande kama luba usijepata stess kama hizi tena za kukimbiwa.
Kwa huyu ni sawa na Pongezi Mwatoa , Kwa Kamatika ohoo Mume Wa Mtu ! WANADAMU :hatari:
 
Hahahahaaaa.....hujaiba makabrasha ya warumi ukamsachi? Tumlie timing aisee

Nina namba hatar, we siku jaribu ku guess passwords zangu, passowrd ina jina la warumi na mwaka wangu wa kuzaliwa so kazi kwako, kila la kheri, maana nina mi namba kwa pm yangu hatar, watu wananifowadia tu , yaan nina ma ubuyu nimeyaweka pending nikiyalipua hapatakalika humu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…